Monday, October 15, 2012

HIVI NDIVYO MWILI WA MAREHEMU KAMANDA BARLOW ULIVYOAGWA MWANZA.
mazishi kamanda liberatus barlow Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Afande George Msangi akitangaza ratiba za kumuaga kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza SACP Liberatus Barlow aliyeuawa usiku wa kuamkia jumamosi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi katika eneo la Kitangiri karibu na Hotel ya Tai Five.
mazishi kamanda liberatus barlow 1 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Maaskari wakijipanga kulitoa sanduku lenye mwili ya Kamanda Barlow kutoka kwenye gari kuanza shughuli za kumuaga
mazishi kamanda liberatus barlow 2 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Jeneza lenye mwili wa Kamanda Barlow likishushwa kutoka kwenye gari
\
mazishi kamanda liberatus barlow 3 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Safari ya kuelekea sehemu maalum iliyopangwa kwa ajili ya mwili wa marehemu
mazishi kamanda liberatus barlow 4 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Everest Ndikillo akienda kuuaga mwili wa marehemu kamanda Liberatus Barlow.
mazishi kamanda liberatus barlow 6 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Viongozi mbalimbali wa Kiserikali wakisimama kwa dakika kadhaa kutoa heshima kwa mwili wa marehemu kamanda Liberatus Barlow
mazishi kamanda liberatus barlow 7 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Baadhi ya Maafisa ya Jeshi la Polisi waliohudhuria
mazishi kamanda liberatus barlow 8 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Afisa Usalama wa Taifa Meja Jacob Mutashi
mazishi kamanda liberatus barlow 9 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Jeneza lenye mwili wa Marehemu kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Liberatus Barlow
mazishi kamanda liberatus barlow 10 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Saluti kutoka kwa Maafisa wa Polisi walizamu kwa Marehemu Kamanda wa Mkoa wa Mwanza Liberatus Barlow wakitoa heshima za mwisho
mazishi kamanda liberatus barlow 11 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Familia ya marehemu kamanda Liberatus Barlow
mazishi kamanda liberatus barlow 12 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Maafisa wa Majeshi ya aina mbalimbali Tanzania katika hafla la kuuaga mwili wa marehemu kamanda Liberatus Barlow.
mazishi kamanda liberatus barlow 13 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Umati mkubwa watu wakiwa katika uwanja wa Nyamagana wakati wa kuuaga mwili wa aliyekuwa kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza SACP Liberatus Barlow
mazishi kamanda liberatus barlow 14 Picha: Viongozi, wananchi wengi wamuaga kamanda Liberatus Barlow
Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Kaminishina Richard Manumba akisalimia na Mkuu wa Wilaya ya Magu Bi. Jackline Wana. Katibu tawala wa Mkoa wa Mwanza Bi. Rosemary Mwanyika akiwa kulia kabisa mwenye suti nyeusi.
                                         picha kwa hisani ya blog ya jamii..

No comments:

Post a Comment