Tuesday, May 29, 2012

       BENKI YA RASILIMALI (TIB) YAWA MWENYEJI WA WATAALAMU WA AADFI

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (katikati) akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi za Mabenki ya Maendeleo ya Afrika (AADFI), Peter Noni kabla ya kufungua rasmi mkutano wa 38 wa mwaka wa Taasisi hiyo  jana mjini Arusha.Kulia ni Mwenyekiti wa heshima wa AADFI (Honorary Chairman) Geoffrey.





WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akifungua mkutano wa 38 wa mwaka wa Taasisi za Benki za Maendeleo ya Afrika (AADFI) kwenye hoteli ya Arusha palace jijini Arusha. Jopo la wataalamu kutoka Taasisi hizo wamekutana kujadili ni kwa jinsi gani wanaweza kusaidia maendeleo katika nchi za Afrika. Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB) ilikuwa mwenyeji wa mkutano huo.Habari na
Grace Macha.
 
 

No comments:

Post a Comment