Thursday, April 19, 2012

MBUNGE FILIKUNJOMBE AIRARUA SERIKALI YA JK BUNGENI

Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe Deo Filikunjombe jioni hii ameiweka serikali ya Rais Jakaya Kikwete njiapanda baada ya kueleza ya moyoni kuwa mawaziri wa JK ni wezi na ana ushahidi wa kutosha hali iliyoonyesha wazi kuchafua hali ya hewa bungeni jioni ya leo .
Hii ni mara ya pili kwa mbunge Filikunjombe kueleza ya moyoni ambapo safari ya kwanza alipata kusema bungeni kuwa mawaziri wanaokwamisha serikali ni vema wakanyongwa kuliko wananchi wa Ludewa kuendelea kufa maji ziwa nyasa kwa uzembe wa mawaziri hao

 

No comments:

Post a Comment