ANAOMBA MSAADA MWENYE MOYO KUMSAIDIA TAFADHALI ..
Festo Joseph(370 mzaliwa wa Kijiji cha Mijongweni Wilayani
Hai, anaomba asaidiwe baiskeli na mtu wa kuuendesha,mama yake clara Peter
anasema kuwa baba yake aliweisha fariki na hivi sasa hakuna mtu wa kumsaidia.
Anasema kuwa yeye hana kazi lakini amemuweka mtu wa
kumhudumia kama kumfulia na majirani kujitolea
kumpa chakula kutokana nay eye kutokuwa
na kazi na kuamua kujishughulishja na biashara ya kuuza matunda na chupa za
maji.
Mume wake alimfukuza na kumuoa mke mwingine ndipo baadae
akafariki,na hakuchukuliwa vibaya kutokana na kuzaa mlemavu kwa kuwa alikuwa ni
motto wa kwanza wa na siyo pili ambaye engechukuliwa kuwa yeye ndiye mwenye
matatizo.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na mmiliki wa blog hii..
No comments:
Post a Comment