Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika skulimya Ukutini Kusini Pemba akiwa katika ziara mkoani humo leo.[Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akitembelea maeneo ya Skuli ya ukutini baada ya kuzinduzi wa madarasa mapya ya kusomea katika skulimya Ukutini Kusini Pemba akiwa katika ziara mkoani humo leo.[Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
No comments:
Post a Comment