Sunday, June 17, 2012

MATUKIO MBALIMBALI YA KAMERA YA TANZANIA LEO NDANI YA MANYARA.
Hapa kamera yetu ilifanikiwa kumnasa kijana mmoja ambaye hakuweza kutambulika jin lake mara moja aliyevalia shati la pinki akipepesuka na kuanguka ovyo baada ya kubugia pombe majira ya saa 7:00 kamili eneo la Kateshi Wilaya ya Hananga Mkoani Manyara.

Hapa wananchi wasamaria wema wakitoa msaada kwa mlevi huyo,ambaye wanenyeji wa eneo hilo walisema kuwa atakuwa amekunywa pombe za kienyeji zinazopatikana maeneo hayo kama Buza na Gongo.

Hapa hata kutembea alikuwa hawezi,lakini vijana tukiendekeza pombe namna hiyo hatutaweza kufanya shughuli za mandeleo,hivyo ni vyema tukajipanga au kuwa na muda maalumu wa kunywa pombe,ama kweli pombe ni nooma

1 comment:

  1. khaa! na shat lake la satini masikin loh kwel pombe si chai

    ReplyDelete