Thursday, April 18, 2013

MEYA WA MOSHI "HATA BODA BODA NI USAFIRI KAMA USAFIRI MWINGINE..

 Meya wa Moshi,Japhary Michael (Chadema)kama alivyokutwa na kamera ya Tanzania leo akitumia usafiri wa bodaboda kama mwananchi wa kawaidai licha ya kuwa na gari la Meya pamoja na yeye mwenyewe kumiliki magari.

No comments:

Post a Comment