Friday, November 23, 2012

MAADHIMISHO MIAKA MITATU YA TAASISI YA WAKUGUZI FOUNDATION KUTOKA AJTC YALIKUWA HIVI...
Hapa kundi la Wakaguzi wakiwa kazini.

Ilikuwa bomba ile mbaya.

Kila aina ya sanaa ilikwepo.

Leacturer Andrew Ngobole akimlisha madamNeema  keki kwenye hafla hiyo


Moda na Dj Samboto nao walikuwepo pia hawa ni wakufunzi wa chuo cha arusha Journalism.




Mgeni Rasmi kwenye hafla hiyo akiwa kwenye meza kuu.


Hapa wakaguzi wakizindua t,shirt zao mpya.

No comments:

Post a Comment