Tuesday, September 4, 2012

WANAHABARI IRINGA WANUSURIKA KIFO WAKITOKA KUMZIKA MWENYEKITI WAO DUDI MWANGOSI

wanahabari ho wakijiokoa kwa kutokea mlango wa dereva baada ya gari yo kutka kupinduka huko Tukuyu Mbeya wakitoka kumzika mwenyekiti wo Daudi Mwangosi kijiji cha Busoka Tukuyu
N aibu ktibu mkuu wa IPC Francis Godwin (wa tatu kulia ) akiwa na kamati y mazishi ikiongozwa na Edo Bshir wa pili kulia
Rais wa UTPC Keneth Simbaya (kushoto) na katibu msaidizi IPC Frncis Godwin wakiongoza waombolezaji kubeba jeneza leo
Wanahabari wakisidia kulinasua gari la wnahabari lililokuwa limekwam kabla ya kutaka kupinduka wakitokea kuzika mwenyekiti wo Daudi Mwngosi,hakuna mjeruhi katika tukio hilo
                                                      Habari kwa hisani ya Francis Godwin

No comments:

Post a Comment