Friday, August 10, 2012

MKUU WA MKOA WA KILIMANAJRO  AKUTANA AN WAKUU WA WILAYA ZA MKAO HUO KUJADILI SHUGHULI MBALIMBALIZ AMAENDELEO
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama,akizungumza jambo kwenye kikao hicho kilichofanyika wilayani rombo mkoani Kilimanjaro.

Wakuu wa Wilaya Mbalimbali Mkoani Kilimanajro.


Wakurugenzi wa Manispaa na Halmashauri.


Mkuu wa Mkoa akisikiliza taarifa kutoka kwa Mkurugenzi wa Rombo hayupo pichani.

Akiwasilisha taarifa yake kuhusiana na fursa za maendeleo zilipo katika Manispaa ya Moshi alisema kuwa
Kufungwa kwa viwanda vya moshi,ambavyo vilikuwa vikizalisha bidhaa mbalimbali,immelezwa kusabisha tatizo la ajira kwa wakazi wa manispaa ya Moshi ambayo wakazi wake zaidi ya asilimia 80 walikuwa wakitegemea ajira kutoka kwenye viwanda hivyo.

Matokeo ya kufungwa kwa viwanda hivyo imesabisha wananchi wengi kukosa ajira,hivyo kupelekea kushukwa kwa vipato vya wananchi wake pamoja na kuongezeka kwa wafanayabiashara wadogo wadogo maarufu kama machinga,ambao wanategemea kazi hiyo kuweza kjioatia kipato cha kila sikukwa ajili ya kujikimu. 

 Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Bernadetha kinabo kwenye Mkutano uliofanyika Wilayani Rombo chini ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro leonidus Gama ambao umehudhuriwa na Wakurugenzi na wakuu wa Wilaya sita Mkoani hapa, lengo likiwa ni kuajdili vipaumbele vya maendeleo kwa mkoa wa Kilimanajro.


No comments:

Post a Comment