Friday, August 3, 2012

CAMERA YETU LEO IPO VIWANJA VYA NANE NANE      ARUSHA.


BAADA ya kamera yetu kupata taarifa ya Tanzania kuongeza nguvu kwenye KILIMO KWANZA na kukosa sehemu ya kuona mikakati hiyo kwa vitendo isipokuwa kwenye makablasha tu liliamua kwenda kujione lenyewe mikakati ya kuinua uchumi wa nchi hii hususani kupitia kilimo pamoja na kuboresha hali ya maisha ya wakulima kwenye  maandalizi ya maadhimisho ya siku ya wakulima Tanzania (nane nane).
BAADHI YA WENYE MABANDA WAKIWA KATIKA HATUA ZA MWISHO MWISHO KATIKA KUREKEBISHA MABANDA YAO KATIKA VIWANJA VYA NANE NANE ARUSHA

MMOJA WA WADAU AKIANGALIA BIDHA ZA KILIMO KATIKA MOJA YA BANDA KATIKA VIWANJA VYA NANE NANE ARUSHA



Moja ya vivutia vikubwa hilikuwa mashamba ambayo yalikuwa yamelimwa lakini akukuwa na mtu yoyote wa kutoa maelekezo jambo ambalo lililishangaza Jicho Letu na kulifanya liwatafute wausika.
HAPA NI BAADHI YA MASHAMBA AMBAYO JICHO LETU ILIJIONEA KATIKA VIWANJA VYA NANE NANE ARUSHA 2012

SEHEMU YA MASHAMBA DARASA KWENYE VIWANJA VYA NANE NANE ARUSHA 2012


 
Sherehe za Nane Nane huandaliwa na kuratibiwa kwa ushirikiano wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika pamoja Chama cha Wakulima Tanzania (TASO).

No comments:

Post a Comment