Monday, June 18, 2012


RAIS KIKWETE AKUTANA NA MWANA WA MFALME NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SAUDIA, PIA MWENYEKITI WA ARIGATOU INTERNATIONAL, PIA NAIBU WAZIRI MKUU WA KENYA IKULU LEO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana naMwana wa Mfalme na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Mhe. Abdulaziz Bin Abullah Bin Abdul Aziz Al Saudi
 leo Juni 18, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifanya mazungumzo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana akimsinidikisa Mwana wa Mfalme na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia Mhe. Abdulaziz Bin Abullah Bin Abdul Aziz Al Saudi leo Juni 18, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifanya mazungumzo
Rais Jakaya Kikwete akimsindikiza Naibu Waziri Mkuu wa Kenya ambaye pia ni Waziri wa Serikali za Mitaa Mhe. Musalia Mudavadi baada ya mnaongezi yao Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mchungaji Keishi Miyamoto, Rais wa Arigatou na Mwenyekiti wa Bodi ya Myochikai na Mlezi-Mwenza wa Kongamano la Mtandao wa Kimataifa wa Dini kwa Watoto(Global Network of Religions for Children)  leo Juni 18, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifanya mazungumzo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara (hayupo pichani) na viongozi wa chama cha riadha alipokutana nao kwa mazungumzo na kupanga mikakati ya namna ya kufufua mchezo wa riadha nchini. Wa pili kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha nchini William Kallaghe, Mkurugenzi wa Michezo Bw. Thadei na kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Riadha Suleiman Nyambui.PICHA NA IKULU
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara aliyekaa kulia (pichani) na viongozi wa chama cha riadha alipokutana nao kwa mazungumzo na kupanga mikakati ya namna ya kufufua mchezo wa riadha nchini. Wa pili kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha nchini William Kallaghe, Mkurugenzi wa Michezo Bw. Thadei na kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Riadha Suleiman Nyambui.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo nchini Dionis Malinzi baada ya kukutana na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara na viongozi wa chama cha riadha alipokutana nao kwa mazungumzo na kupanga mikakati ya namna ya kufufua mchezo wa riadha nchini. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw Sethi Kamuhanda.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Rais wa Kamati ya Olimpiki Filbert Bayi ionis Malinzi baada ya kukutana na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara na viongozi wa chama cha riadha alipokutana nao kwa mazungumzo na kupanga mikakati ya namna ya kufufua mchezo wa riadha nchini. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw Sethi Kamuhanda.

No comments:

Post a Comment