Wednesday, March 28, 2012

MAENDELEO YA WANA MERU NI WANA MERU WENYEWE KUAMUA NANI KUWA MUAKILISHI WAO KWENYE UCHAGUZI UTAKAOFANYIKA APRIL 1,JUMAPIL

 Mgombea wa ubunge kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM)Sioi Sumari,akiomba kura.

 Hapa Sioi Akiombewa na Wazee wa Kimila
Tatizo la Maji kwa wananchi wa Arumeru ni moja ya kero ambazo zimekuwa zikiwakumba wananchi wa Arumeru,na huu ndo wakati wenyewe wa wao kuamua ni Mbunge yupi atakaewatatulia matatizo yao kwenye uchaguzi huu mdogo.

No comments:

Post a Comment