Mwili wa mtoto aliyetupwa huu ukiwa ndani ya dampo (tunaomba radhi kwa picha hizi)
...
Habari ambazo mtandao huu umezipata kutoka kwa majirani wa mwanamke aliyekamatwa jumapili ya wiki iliyopita kwa tuhuma za kutoa mimba na kutupa katika dampo la taka Chenzia Juma (22) mkazi wa Mwangata B zinadai kuwa amefariki dunia leo katika Hospitali ya mkoa wa Iringa alikokuwa amelazwa .
Mwanamke huyo ambae awali alipokamatwa alidanganya jina lake wakati akihojiwa na polisi kwa madai kuwa anaitwa Monica kumbe ni jina feki kwani jina lake ni Chenzia Juma .
Habari ambazo mtandao huu umezipata kutoka kwa majirani wa mwanamke aliyekamatwa jumapili ya wiki iliyopita kwa tuhuma za kutoa mimba na kutupa katika dampo la taka Chenzia Juma (22) mkazi wa Mwangata B zinadai kuwa amefariki dunia leo katika Hospitali ya mkoa wa Iringa alikokuwa amelazwa .
Mwanamke huyo ambae awali alipokamatwa alidanganya jina lake wakati akihojiwa na polisi kwa madai kuwa anaitwa Monica kumbe ni jina feki kwani jina lake ni Chenzia Juma .
Habari kwa Hisani ya Francis Blog
No comments:
Post a Comment