Tuesday, September 4, 2012

                  HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA KWENYE MAZISHI YA  Daudi Mwangosi

 Rais wa UTPC Kenneth Simbaya akizungumza wakati wa shughuli za  mazishi ya Mwangosi.
 
Katibu mkuu wa Chadema Dk Wilbroad Silaa akizungmza mazishini. 
 Ibada ya mazishi ikiendelea.
 
  Mjane wa marehemu Mwangosi
     Mwili ukipelekwa malaloni.
    Ibada.
       Jeneza likishushwa kaburini.
     Jeneza Kaburini
  Udongo ukiwekwa kaburini
                        Mjane akilia juu ya kaburi la marehemu mumewe
                                Watoto wa marehemu wakiweka mashada
                                               Dk Slaa akieka shada la maua.
                               Rais wa UTPC Kenneth Simbaya akiweka maua.

                          Ndugu na jamaa wakiweka maua katika kaburi la marehemu Mwangosi.

No comments:

Post a Comment