Sunday, August 5, 2012

       HOTEL YA KNCU ILIYOPO MINI MOSHI YANUSURIKIA KUTEKETEA KWA MOTO
Hivi ndivyo lilivyoonekana jengo la hoteli ya KNCU inayomilikiwa na chama kikuu cha ushirika mkoani Kilimanjaro Kncu wakati ilipoanza kuwaka moto.

Wananchi mbalimbali wakiwa wamefika kwenye hoteli ya KNCU kushuhudia tukio hilo.


Licha ya wananchi kulalamikia zima moto,lakini kwa siku ya jana waliweza kuwahi na kufanikiwa kuuzima moto uliokuwa umeshaanza kusambaa jengo zima,huku ofisi ya Bumaco Insurance ikionekana kuadhiriwa zaidi na moto huo na kuteketeza baadhi ya vifaa kama computa na vifaa vingine vilivyokuwepo kwenye chumba hicho

No comments:

Post a Comment