Wednesday, May 30, 2012

TANZANIA YAPATIWA MKOPO WA ZAIDI YA MILLION 30 NA BENKI YA BADE.

 waziri wa fedha wa Tanzania Dr,Wiliam Mgimwa akiwa mkurugenzi wa benki ya Badea  Abdelaziz Khelef wakibadilishana mikataba ya mkopo mara baada ya kutia saini
 wakibadilishana mawazo
 waziri wa fedha wakiwa wanaongozana na waandishi kwa ajili ya kuongea nao
 mdada wa libeneke la kaskazini akisalimiana na waziri wa fedha
waziri wiliam mgimwa akiwa anaweka saini ya mkataba wa mkopo wa bilioni 34.5 kutoka katika benki ya maendeleo ya afrika tok nchini uharabuni (BADEA)
waziri wa fedha zazibar Yusuphy mzee akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari mara baada ya mkopo huo kutolewa

Mwandishi wa habari wa gazeti la majira Pamela Mollel akiwa anabadilishana mawazo na  Tiganya
Habari na Libeneneke la Kaskazini.

No comments:

Post a Comment