Wednesday, May 30, 2012

 MTANZANIA WA KWANZA KUPANDA MLIMA EVAREST WILFRED MOSHI AWASILI NCHINI LEO.

Mtanzania wa kwanza kupanda mlima Evarest,Wilfred Moshi alipowasili nchini leo kwenye uwanja wa Kimataifa wa KIA kutoka Nchini Nepal baada ya kupanda mlima evarest ambao ni mlime mrefu kuliko yote
Mtanzania wa kwanza kupanda mlima Evarest,Wilfred Moshi(aliyevaa miwani)akiwa na watu mbalimbali akiwemo mke wake(wa tatu kulia)Agness Wilfred na watoto wake Martini na Martina Wilfred akipokelewa kwa shangwe baada ya kutoka Nchini Nepal kupanda Mlima Evarist kwa muda wa miezi ambapo alipeperusha vyema bendera ya Tanzania
Watu wake wa karibu kabisa nao walijawa na furaha ya ajabu na kujimuika pamoja wakiwa na zawadi mbalimbali kama anavyoonekana Getruda akiwa na Rodrick Mmary wakiwa na champain kwa ajili yakumzawaida Willfred
Waandishi wa habar kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa kazini.

Hafla ya kumpongeza Wilfred Moshi.
Mmiliki wa mtandao huu(mwenye begi)Rodrick Mushi akimpongeza Willfred Moshi baada ya kuwasili uwanja wa KIA kutokea Nepal baada ya kufanikiwa kufika kileleni na kuwa mtanzania wa kwanza kabisa kupanda mlima evarest.
Mtanzania wa kwanza kupanda mlima Evarest,Wilfred Moshi alipowasili nchini leo kwenye uwanja wa Kimataifa wa KIA kutoka Nchini Nepal baada ya kupanda mlima evarest ambao ni mlime mrefu kuliko yote akikumbatiana na familia yake mke wake Agness Willfred na watoto wake.
Waandishi wa habari wakizungumza na mama mzazi wa Wilfred Moshi Bi Martina kuweza kuoata mawili matatu kutoka kwake.

No comments:

Post a Comment