MBUNGE WA UBUNGO JOHN MNYIKA ASHINDA KESI LEO.
 |
Hapa John Mnyika akiwahutubia wananchi Jimbo la Ubungo mara baada ya kushinda kesi |
 |
Mbunge wa jimbo la Ubungo CHADEMA Mh. John Mnyika akiwa amebebewa na
wanachama wa chama
hicho mara baada ya mahakama Kuu ya Tanzania kumtangaza mshindi katika
kesi ya uchaguzi iliyokuwa ikimkabili kesi ya kupinga matokeo ya
uchaguzi jimbo la Ubungo iliyofunguliwa na mpinzani wake Hawa Ng'humbi
wa chama cha
CCM. |
Jaman tunaomba njia mbunge apite,ili pata shika .
No comments:
Post a Comment