Wednesday, May 16, 2012

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAUGUZI  MOSHI VIJIJINI MKOANI KILIMANJARO YAFANA.
Wauguzi wakianza maandamano katika eneo la KDC Halmashauri ya Moshi Vijijini kuelekea Kilema kwa kuadhimisha kilele cha siku ya wauguzi dunia siku ambayo huadhimishwa may 12 kila mwaka duniani.

Mdau akijadiliana jambo na Mc wa sherehe ya maadhimisho hayo ambaye pia ni Mtanzaji wa Moshi Fm Radio Mtoly Mayombola.

Wakielekea kwenye wodi za wagonjwa Hospitali ya Kilema kwa ajili ya Kuwasalimia wagonjwa.

Hapa paroko wa Kanisa Katoliki akimpa mgonjwa sakramenti takatifu.


Mwenyekiti wa Wauguzi Wilaya ya Moshi Raymond Massawe akizungumza jambo na wauguzi pamoja na wageni waliofika kwenye maadhimisho hayo.

wauguzi waliofanya vizuri wakikabidhiwa zawadi .

Mganga Mkuu wa hospitali ya Kilema Dr Ignas Massawe akitoa neno lake kwa wauguzi ambaye ndiye aliyekuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo ya kilele cha siku ya wauguzi duniani.
                                        

No comments:

Post a Comment