Wednesday, April 25, 2012


MAFUNZO YA UFUATILIAJI WA SERA NA BAJETI YAFANYIKA KWA WANDISHI WA HABARI MKOANI KILIMANJARO

Washiriki wa mafunzo hayo wakiwa makini kimsikiliza mwezeshaji wa mafunzo hayo ya ufuatiliaji wa sera na Bajeti yaliyofanyika Mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro kwenye hotel ya KNCU.

Mwezeshaji wa mafunzo hayo Adam Ndokeji akijadiliana jambo na waandishi wa vyombo mbalimbali waliohudhiria mafunzo hayo

Waandishi waliohudhuria mafunzo hayo

Mwezeshaji wa mafunzo hayo Adam Ndokeji akijadiliana jambo na waandishi wa vyombo mbalimbali waliohudhiria mafunzo hayo

Waandishi wakiwa makini kuendelea kusikiliza mafunzo ya ufuatiliaji wa sera na Bajeti
 Mmilikiwa mtandao huu wa www.tanzania-leo.blogsport.com wa kwanza kushoto akiwa na mwandishi nguli wa michezo Henry Lyimo wa Moshi fm kwenye mafunzo ya hayo ya ufuatiliaji wa Sera na Bajeti.

 


No comments:

Post a Comment