Friday, April 27, 2012

mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm,Arusha ajiunga na chadema 

 mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm, Taifa Ally Bananga akitangaza kujiunga na chadema jana anasema amechoka kufanywa karai la zege na fagio ambalo kazi ikimalizika dhamani yake huisha

Hapa akikumbatiana na Godbless Lema.

Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM mkoani Arusha Ally Bbananga akitangaza kukihama chama hicho na kujinga na Chama Cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA) leo kwenye hoteli ya kitalii ya Kibo palace , Kushoto aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini, Godbless lema Kulia Katibu wa Chadema mkoa wa Kinondoni, Hendry Kilewo

Habari,picha na Grace Macha Blog



 

 

 

 


No comments:

Post a Comment