KADA NA VIONGOZI WA CCM WANENA USHINDI WA CHADEMA ARUMERU.![]() |
Nape Mnauye kupitia ukurasa wake wa facebook anasema Hongereni watani (Chadema) kwa ushindi Arumeru Mashariki. Ninawapongeza mmeshinda! Ndio kauli ya wana Arumeru Mashariki nasi tunaiheshimu! Fanyeni kazi kutimiza mliyowaahidi wapiga kura.anamalizia kwa kusema .Asiyekubali kushindwa siyo ..akaachilia hapo |



No comments:
Post a Comment