KANISA LINGINE LACHIMWA MTO DAR
Kuna habari zisizo rasmi zimelifikia dawati letu la habari kuhusu uvamizi wa Kanisa moja maeneo ya Yombo- Dar es salaam leo. Inasemekana kuna kundi moja la watu wanaohisiwa kuwa Waumini wa dini ya Kiislam wamelivamia Kanisa ya KKKT - Yombo, Chingaone Blog imefanikishwa kuwasiliana na mmoja wa Waumini wa Kanisa hilo aliyekuwepo eneo la tukio, Muumini huyo alikiri kutokea kwa tukio hilo ila alisema watu hao hawakufanikisha zoezi hilo na hii ilitokana na upinzani mkali walioupata toka kwa walinzi wawili wa kanisa, ambao mmoja wao aliamua aligonga kengele na kusababisha mkusanyiko wa watu na watu hao kufanikiwa kukimbia , hadi sasa hakuna hata mmoja aliyekamatwa kutokana na tukio hilo...
Endelea kuungana nasi kwa habari zaidi ..........
SOURCE chingaoneblog.
No comments:
Post a Comment