Tuesday, April 10, 2012

MADUKA YA BIASHARA YATEKETEA KWA MOTO ARUSHA.
Zima moto wakiwa kazini kuzima moto ulianza kuwaka gafla kwenye maduka ya waf
 anyabiasha yaliyopo jijini Arusha enel lijulikanalo kama chini ya mti,ambapo hata hivyo zima moto wa jiji hawakuwa na maji hadi walipokuja wengine kutoka Halmashauri ya Meru.
baadhi ya maduka ambayo yalikwua yameshika moto yakiteketea kwa moto.

Wananchi wakijaribu kuuzima moto huo kwa maji,hapo wakiangalia kama wameweza kufanikiwa baada ya baadhi ya majengo moto huo kupoa.habari na mwandishi wetu Arusha.

No comments:

Post a Comment