Tuesday, March 5, 2013

UHURU NA RUTO WAANDAA JUKWAA LA KUSHUKURU WANANCHI WA KENYA.

                                                               Uhuru Kenyatta (TNA)

 

Imeripotiwa  kuwa mgombea  urais wa TNA Uhuru Kenyatta na mgombea  mwenza  wake  wameandaa jukwaa maalum katika ukumbi mmoja  wa  chuo  mjini Nairobi kwa  ajili ya  kuzungumza na wananchi mara  baada  ya kutangazwa  washindi .

No comments:

Post a Comment