Tuesday, March 5, 2013

MATOKEO YA AWALI:UHURU AZIDI KUMBURUZA REILLA ODINGA.

     Uhuru Kenyata.Uhuru  Kenyatta ana kura  2,535,184 sawa na  asilimia 54.06 wakati Raila  Odinga ana  kura 1,943, 097 sawa na asilimia 41.44 Matokeo bado yanaendelea  kutangazwa  Chanzo  cha habari hizi  ni TV ya The Citizen 

No comments:

Post a Comment