Wednesday, May 16, 2012

BREAAAAKING NEWS  MCHEZAJI WA SIMBA PATRICK MAFISANGO AFARIKI DUNIA
Patrick Mafisango

Taarifa ilioyofikioa mtandao huu inaeleza kuwa mchezaji wa timu ya simba ya Jijini Dar es Salaam,na timu ya Taifa ya Rwanda ,pichani, amefariki dunia kwa ajali ya gari alfajiri Leo majira ya saa kumi wakati akiwa njiani kurejea nyumbani kwake.
 
Tanzania Leo inaendelea kuwatafuta viongozi wa timu ya Simba ya Jijini Dar ili kupata taarifa zaidi juu ya kifo cha Mchezaji huyo.Hivyo tuendelea kufuatilia kwenye globu hii kwa habari kamili.


No comments:

Post a Comment