mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm,Arusha ajiunga na chadema
![]() |
mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm, Taifa Ally Bananga akitangaza kujiunga na chadema jana anasema amechoka kufanywa karai la zege na fagio ambalo kazi ikimalizika dhamani yake huisha |
Hapa akikumbatiana na Godbless Lema. |
No comments:
Post a Comment