Monday, April 16, 2012

BREAKING......NEWS MWENYEKITI WA UVCCM ARUSHA AHAMIA CHADEMA.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Mkoani Arusha,James Ole Millya anayeonekana pichani.

        Kama alivyosikika akiongea Radio 5 iliyopo jijini Arusha Mwenyekiti huyo amesikika akisema kuwa ameamua kukihama chama cha mapinduzi kwa madai kuwa siyo baba au mama yake..

                    
KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NAPE MNAUYE

AZUNGUMZIA kuhama kwa Millya 

kauli yake hii hapa kupitia ukurasa wa facebook

ampongeza Millya kwa kuamua kukisaidia Chama Changu, kwani alishakuwa mzigo mkubwa kwa CCM. Itakumbukwa alikuwa afukuzwe kwenye chama kutokana na mambo alokuwa akifanya. Akapewa KARIPIO ili apate muda wa kurekebisha tabia yake! Kaondoka akiwa chini ya karipio. Kajivua gamba,tunampongeza kwa kuitikia wito wa kujivua gamba. Kila lakheri aendako ni kijana bado anayo mengi ya kujifunza

No comments:

Post a Comment