Mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba Mpya Waziri mkuu mstaafu
Jaji Joseph Wariomba wa tatu kutoka kulia akiwa pamoja na viongozi
wengine wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kwa hafla hiyo.
Ofisi hiyo inavyoonekana kwa ndani..
Baadhi ya wajumbe wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba mpya wakiingia
kwenye ukumbi wa mikutano tayari kwa kuanza kwa hafla ya makabidhiano
ya ofisi watakayoitumia.
No comments:
Post a Comment