Wednesday, May 2, 2012

TUME KATIBA  YAKABIDHIWA OFISI KWENYE JENGO JIPYA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI

Mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba Mpya Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Wariomba wa tatu kutoka kulia akiwa pamoja na viongozi wengine wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kwa hafla hiyo.

Ofisi hiyo inavyoonekana kwa ndani..

 Baadhi ya wajumbe wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba mpya wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano tayari kwa kuanza  kwa hafla ya makabidhiano ya ofisi watakayoitumia.

No comments:

Post a Comment