Monday, May 7, 2012

KIKWETE AWAAPISHA MAWAZIRI WAPYA LEO
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk Fenela Mukangara akila kiapo mbele ya Rais Jakaya Kikwete leo.

Naibu waziri wa Sayansi na Teknolojia January Makamba akila kiapo

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angela Kairuki akila kiapo
Miraji Kikwete akiwa na wadau wengine katika hafla hiyo

 Rais Jakaya Kikwete akipiga picha ya pamoja na mawaziri pamoja na manaibu waziri mara baada ya kuwaapisha leo.

 Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na manaibu Waziri mara baada ya kuwaapisha leo Ikulu.

No comments:

Post a Comment